1 Wafalme 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini ikawa kwamba baada ya siku kadhaa, lile bonde la mto likakauka,+ kwa sababu mvua haikuwa imenyesha juu ya dunia. 1 Wafalme 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na Ahabu akamwambia Obadia: “Tembea katika nchi kwenye mabubujiko yote ya maji na kwenye mabonde yote ya mito. Labda tutapata majani mabichi,+ ili tuwahifadhi hai farasi na nyumbu na ili wanyama zaidi wasiangamie.”+ Yeremia 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Hili ndilo neno la Yehova lililomjia Yeremia kuhusiana na mambo ya ukame:+
7 Lakini ikawa kwamba baada ya siku kadhaa, lile bonde la mto likakauka,+ kwa sababu mvua haikuwa imenyesha juu ya dunia.
5 Na Ahabu akamwambia Obadia: “Tembea katika nchi kwenye mabubujiko yote ya maji na kwenye mabonde yote ya mito. Labda tutapata majani mabichi,+ ili tuwahifadhi hai farasi na nyumbu na ili wanyama zaidi wasiangamie.”+