9 Sasa ikawa kwamba katika mwaka wa tano wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, katika mwezi wa tisa,+ watu wote katika Yerusalemu na watu wote waliokuwa wakiingia Yerusalemu kutoka katika majiji ya Yuda walitangaza kufunga mbele za Yehova.+
14 Takaseni wakati wa kufunga.+ Iteni kusanyiko kuu.+ Kusanyeni pamoja wanaume wazee, wakaaji wote wa nchi, kwenye nyumba ya Yehova Mungu wenu,+ mlilieni Yehova awape msaada.+