Kumbukumbu la Torati 28:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Mashamba ya mizabibu utayapanda na hakika utayapalilia, lakini pia hutakunywa divai yoyote wala kukusanya chochote,+ kwa sababu mdudu atazila.+ Isaya 32:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Katika muda wa mwaka mmoja na siku fulani ninyi msiojali mtafadhaika,+ kwa sababu uvunaji wa zabibu utakuwa umefikia mwisho lakini hakuna mavuno ya matunda yatakayoingizwa ndani.+
39 Mashamba ya mizabibu utayapanda na hakika utayapalilia, lakini pia hutakunywa divai yoyote wala kukusanya chochote,+ kwa sababu mdudu atazila.+
10 Katika muda wa mwaka mmoja na siku fulani ninyi msiojali mtafadhaika,+ kwa sababu uvunaji wa zabibu utakuwa umefikia mwisho lakini hakuna mavuno ya matunda yatakayoingizwa ndani.+