Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Na itatukia katika siku hiyo kwamba kila mahali palipokuwa na mizabibu elfu moja, yenye thamani ya vipande elfu moja vya fedha,+ patakuwa—kwa ajili ya vichaka vya miiba na kwa ajili ya magugu.+

  • Yeremia 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “‘Nitakapokuwa nikikusanya, nitawamaliza,’ asema Yehova.+ ‘Hakutakuwa na zabibu juu ya mzabibu,+ wala hakutakuwa na tini juu ya mtini, na hakika majani yatakauka. Na vitu ninavyowapa vitapita kando yao.’”

  • Maombolezo 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Waliendelea kuwaambia mama zao: “Iko wapi nafaka na divai?”+

      Kwa sababu ya kuzimia kwao kama mtu aliyeuawa katika viwanja vya watu wote vya jiji,

      Kwa sababu ya nafsi yao kumwagwa kwenye vifua vya mama zao.

  • Hosea 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nitaufanya kuwa ukiwa mzabibu+ wake na mtini+ wake, ambao amesema hivi kuuhusu: “Hizo ni zawadi zangu nilizopewa, ambazo wale wanaonipenda kwa tamaa nyingi wamenipa”; nami nitazifanya kuwa msitu,+ na mnyama wa mwituni atazila.

  • Sefania 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na mali yao itakuwa ya kunyakuliwa na nyumba zao zitakuwa mahame yenye ukiwa.+ Nao watajenga nyumba, lakini hawatakaa humo;+ nao watapanda mashamba ya mizabibu, lakini hawatakunywa divai yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki