5 Na Ahabu akamwambia Obadia: “Tembea katika nchi kwenye mabubujiko yote ya maji na kwenye mabonde yote ya mito. Labda tutapata majani mabichi,+ ili tuwahifadhi hai farasi na nyumbu na ili wanyama zaidi wasiangamie.”+
3 Na watu wao walio mashuhuri wamewatuma watu wao walio wanyonge walete maji.+ Wamekuja kwenye mitaro. Hawakupata maji.+ Wamerudi vyombo vyao vikiwa vitupu. Wamepatwa na aibu+ na kukata tamaa, nao wamekifunika kichwa chao.+