Mambo ya Walawi 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nanyi mtazishika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu, ambazo ikiwa mtu atazifanya, yeye pia ataishi kwa hizo.+ Mimi ni Yehova.+ Kumbukumbu la Torati 30:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 kwa kumpenda Yehova Mungu wako,+ kwa kuisikiliza sauti yake na kwa kushikamana naye;+ kwa maana yeye ni uhai wako na urefu wa siku zako,+ ili ukae katika nchi ambayo Yehova aliwaapia mababu zako Abrahamu, Isaka na Yakobo kwamba atawapa wao.”+ Zaburi 69:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Hakika wapole wataliona hilo; watashangilia.+Ninyi mnaomtafuta Mungu, moyo wenu na uendelee kuwa hai.+ Waroma 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana Musa anaandika kwamba mtu ambaye amefanya uadilifu wa Sheria ataishi kwa huo.+
5 Nanyi mtazishika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu, ambazo ikiwa mtu atazifanya, yeye pia ataishi kwa hizo.+ Mimi ni Yehova.+
20 kwa kumpenda Yehova Mungu wako,+ kwa kuisikiliza sauti yake na kwa kushikamana naye;+ kwa maana yeye ni uhai wako na urefu wa siku zako,+ ili ukae katika nchi ambayo Yehova aliwaapia mababu zako Abrahamu, Isaka na Yakobo kwamba atawapa wao.”+
32 Hakika wapole wataliona hilo; watashangilia.+Ninyi mnaomtafuta Mungu, moyo wenu na uendelee kuwa hai.+