Mambo ya Walawi 26:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nami nitawatawanya ninyi katikati ya mataifa,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yenu;+ nayo nchi yenu itakuwa ukiwa,+ na majiji yenu yatakuwa bomoko lenye ukiwa. Yeremia 36:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nami nitamtoza hesabu yeye+ na uzao wake na watumishi wake kosa lao,+ nami nitaleta juu yao na juu ya wakaaji wa Yerusalemu na juu ya watu wa Yuda ule msiba wote ambao nimesema juu yao,+ nao hawakusikiliza.’”’”+
33 Nami nitawatawanya ninyi katikati ya mataifa,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yenu;+ nayo nchi yenu itakuwa ukiwa,+ na majiji yenu yatakuwa bomoko lenye ukiwa.
31 Nami nitamtoza hesabu yeye+ na uzao wake na watumishi wake kosa lao,+ nami nitaleta juu yao na juu ya wakaaji wa Yerusalemu na juu ya watu wa Yuda ule msiba wote ambao nimesema juu yao,+ nao hawakusikiliza.’”’”+