Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+

  • Methali 29:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mtu anayekaripiwa+ tena na tena lakini anayeifanya shingo yake kuwa ngumu+ atavunjika ghafula, na hivyo pasipo kuponywa.+

  • Yeremia 19:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta juu ya jiji hili na juu ya majiji yake yote msiba wote ambao nimesema juu yake, kwa sababu wamefanya shingo yao kuwa ngumu ili wasiyatii maneno yangu.’”+

  • Yeremia 35:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Kwa hiyo Yehova, Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta juu ya Yuda na juu ya wakaaji wote wa Yerusalemu ule msiba wote ambao nimesema juu yao,+ kwa sababu nimesema nao lakini hawakusikiliza, nami niliendelea kuwaita lakini hawakujibu.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki