17 “Kwa hiyo Yehova, Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta juu ya Yuda na juu ya wakaaji wote wa Yerusalemu ule msiba wote ambao nimesema juu yao,+ kwa sababu nimesema nao lakini hawakusikiliza, nami niliendelea kuwaita lakini hawakujibu.’”+