6 Na sasa mimi mwenyewe nimezitia nchi hizi zote mkononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babiloni,+ mtumishi wangu;+ na nimempa hata wanyama wa mwituni ili wamtumikie.+
22 “Kwa hiyo, Ee Oholiba, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninawaamsha juu yako wale wanaokupenda kwa tamaa,+ wale ambao nafsi yako imegeukia mbali kutoka kwao ikiwa imechukizwa, nami nitawaleta juu yako pande zote,+