Yoshua 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ndipo Yoshua akamwambia Akani: “Tafadhali, mwanangu, mpe Yehova Mungu wa Israeli utukufu+ na uungame kwake,+ tafadhali niambie,+ Umefanya nini? Usinifiche+ jambo hili.” 1 Samweli 14:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Kisha Sauli akamwambia Yonathani: “Niambie, Umefanya nini?”+ Basi Yonathani akamwambia na kusema: “Kwa kweli nilionja asali kidogo kwenye ncha ya fimbo iliyo mkononi mwangu.+ Mimi hapa! Na nife!”
19 Ndipo Yoshua akamwambia Akani: “Tafadhali, mwanangu, mpe Yehova Mungu wa Israeli utukufu+ na uungame kwake,+ tafadhali niambie,+ Umefanya nini? Usinifiche+ jambo hili.”
43 Kisha Sauli akamwambia Yonathani: “Niambie, Umefanya nini?”+ Basi Yonathani akamwambia na kusema: “Kwa kweli nilionja asali kidogo kwenye ncha ya fimbo iliyo mkononi mwangu.+ Mimi hapa! Na nife!”