5 Kwa maana mama yao amefanya uasherati.+ Yeye mwenye kuwachukua mimba ametenda kwa njia ya aibu,+ kwa maana amesema, ‘Nataka kuwafuata wale wanaonipenda kwa tamaa nyingi,+ wale wanaonipa mkate na maji, sufu na kitani, mafuta na kinywaji.’+
9“Usishangilie, Ee Israeli.+ Usitende kwa shangwe kama vikundi vya watu.+ Kwa maana kwa kufanya uasherati umeondoka kando ya Mungu wako.+ Umependa zawadi za kukodiwa juu ya viwanja vyote vya kupuria nafaka.+