5 “Naye Ohola akaanza kufanya ukahaba,+ alipokuwa chini yangu, na kuendelea kuwa na uchu kuwaelekea wale wanaompenda kwa tamaa,+ kuwaelekea Waashuru,+ waliokuwa karibu,
12 Watu wangu mwenyewe wanaendelea kuuliza habari+ kutoka kwa sanamu yao ya mti,+ na fimbo yao ya mkononi huwaambia; kwa maana roho ya uasherati imewafanya watange-tange,+ nao kwa uasherati hutoka chini ya Mungu wao.+