Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ah, tafadhali, Yehova, tega sikio lako kwa sala ya mtumishi wako na kwa sala+ ya watumishi wako wanaofurahia kuliogopa jina lako;+ na, tafadhali, mpe mafanikio mtumishi wako leo+ na kumfanya ahurumiwe mbele ya mtu huyu.”+

      Basi mimi nilikuwa mnyweshaji+ wa mfalme.

  • Methali 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kumwogopa Yehova ndio mwanzo wa hekima,+ na kumjua aliye Mtakatifu Zaidi ni uelewaji.+

  • Luka 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Pia, atakwenda mbele zake kwa roho na nguvu za Eliya,+ ili kurudisha mioyo+ ya akina baba kwa watoto na wale wasiotii kwenye hekima inayotumika ya waadilifu, ili kuweka tayari kwa ajili ya Yehova+ watu waliotayarishwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki