24 Naye akanunua mlima wa Samaria kutoka kwa Shemeri kwa talanta mbili za fedha, naye akaanza kujenga juu ya huo mlima na kuita jina la jiji alilolijenga Samaria,+ kulingana na jina la Shemeri bwana wa ule mlima.
4“Lisikieni neno hili, ninyi ng’ombe za Bashani,+ mlio juu ya mlima wa Samaria,+ mnaopunja watu wa hali ya chini,+ mnaoponda walio maskini, mnaowaambia mabwana zenu, ‘Leteni, tunywe!’