Yeremia 9:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana ni sauti ya maombolezo ambayo imesikiwa kutoka Sayuni:+ “Jinsi tulivyoporwa!+ Jinsi tulivyoona aibu! Kwa maana tumeiacha nchi; kwa maana wameyatupilia mbali makao yetu.”+ Yeremia 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Tazama, ninawatupa nje kwa kombeo wakaaji wa dunia pindi hii,+ nami nitawataabisha ili wapate kujua.”+
19 Kwa maana ni sauti ya maombolezo ambayo imesikiwa kutoka Sayuni:+ “Jinsi tulivyoporwa!+ Jinsi tulivyoona aibu! Kwa maana tumeiacha nchi; kwa maana wameyatupilia mbali makao yetu.”+
18 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Tazama, ninawatupa nje kwa kombeo wakaaji wa dunia pindi hii,+ nami nitawataabisha ili wapate kujua.”+