Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 4:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa maana nimeisikia sauti kama ya mwanamke mgonjwa, taabu kama ya mwanamke anayezaa mtoto wake wa kwanza,+ sauti ya binti Sayuni ambaye anaendelea kuvuta pumzi kwa nguvu. Anaendelea kuinyoosha mikono yake:+ “Ole wangu, sasa, kwa maana nafsi yangu imechoka kwa sababu ya wauaji!”+

  • Ezekieli 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na watu wao walioponyoka hakika wataponyoka+ na kuwa kama njiwa wa mabondeni juu ya milima,+ ambao wote wanaomboleza, kila mmoja katika kosa lake mwenyewe.

  • Mika 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa sababu hiyo nitaomboleza na kupiga mayowe;+ nitatembea miguu wazi na uchi.+ Nitaomboleza kama mbwa-mwitu, na kuomboleza kama mbuni-jike.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki