22 “‘Nanyi mtazishika sheria+ zangu zote na maamuzi yangu yote ya hukumu+ na kuzifanya, ili nchi nitakayowaingiza mkae ndani yake isije ikawatapika ninyi.+
10 Ondoka uende,+ kwa sababu hapa si mahali pa kupumzika.+ Kwa sababu ya uhakika wa kwamba amekuwa asiye safi,+ kuna kuvunja-vunja; na kazi hiyo ya kuvunja-vunja ina maumivu.+