Isaya 47:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nilikuwa na ghadhabu kuwaelekea watu wangu.+ Niliutia unajisi urithi wangu,+ nami nikawatia mkononi mwako.+ Hukuwaonyesha rehema zozote.+ Uliifanya nira yako kuwa nzito sana juu ya mzee.+ Yeremia 51:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nami nitamlipa Babiloni na wakaaji wote wa Ukaldayo ubaya wao wote ambao wametenda katika Sayuni mbele ya macho yenu,”+ asema Yehova. Zekaria 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nina hasira kubwa juu ya mataifa yenye starehe;+ kwa sababu mimi nilikasirika kidogo tu,+ bali wao waliuzidisha msiba.” ’+
6 Nilikuwa na ghadhabu kuwaelekea watu wangu.+ Niliutia unajisi urithi wangu,+ nami nikawatia mkononi mwako.+ Hukuwaonyesha rehema zozote.+ Uliifanya nira yako kuwa nzito sana juu ya mzee.+
24 Nami nitamlipa Babiloni na wakaaji wote wa Ukaldayo ubaya wao wote ambao wametenda katika Sayuni mbele ya macho yenu,”+ asema Yehova.
15 Nina hasira kubwa juu ya mataifa yenye starehe;+ kwa sababu mimi nilikasirika kidogo tu,+ bali wao waliuzidisha msiba.” ’+