Kumbukumbu la Torati 33:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye akasema:“Yehova—alikuja kutoka Sinai,+Naye akamulika juu yao kutoka Seiri.+Aliangaza kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+Mashujaa wao kwenye mkono wake wa kuume.+ Waamuzi 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova, ulipotoka Seiri,+Ulipopiga mwendo kutoka shamba la Edomu,+Dunia ilitikisika,+ mbingu pia zikatiririka maji,+Mawingu pia yakatiririka maji.
2 Naye akasema:“Yehova—alikuja kutoka Sinai,+Naye akamulika juu yao kutoka Seiri.+Aliangaza kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+Mashujaa wao kwenye mkono wake wa kuume.+
4 Yehova, ulipotoka Seiri,+Ulipopiga mwendo kutoka shamba la Edomu,+Dunia ilitikisika,+ mbingu pia zikatiririka maji,+Mawingu pia yakatiririka maji.