Mwanzo 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Baada ya muda akamzalia Zimrani na Yokshani na Medani na Midiani+ na Ishbaki na Shua.+ Zaburi 83:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uwatendee kama Midiani,+ kama Sisera,+Kama Yabini+ kwenye bonde la mto la Kishoni.+