Waamuzi 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini mzeituni ukaiambia, ‘Je, niyaache mafuta yangu ambayo kwayo wao humtukuza+ Mungu na wanadamu, na je, niende kuwayawaya juu ya miti mingine?’+ Zekaria 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami nikamjibu, nikamwambia: “Hii mizeituni miwili upande wa kuume wa kinara cha taa na upande wake wa kushoto inamaanisha nini?”+ Ufunuo 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hao wanafananishwa na ile mizeituni miwili+ na vile vinara viwili vya taa+ nao wamesimama mbele za Bwana wa dunia.+
9 Lakini mzeituni ukaiambia, ‘Je, niyaache mafuta yangu ambayo kwayo wao humtukuza+ Mungu na wanadamu, na je, niende kuwayawaya juu ya miti mingine?’+
11 Nami nikamjibu, nikamwambia: “Hii mizeituni miwili upande wa kuume wa kinara cha taa na upande wake wa kushoto inamaanisha nini?”+
4 Hao wanafananishwa na ile mizeituni miwili+ na vile vinara viwili vya taa+ nao wamesimama mbele za Bwana wa dunia.+