Zekaria 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na kuna mizeituni miwili kando yake,+ mmoja upande wa kuume wa bakuli na mwingine upande wake wa kushoto.” Ufunuo 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hao wanafananishwa na ile mizeituni miwili+ na vile vinara viwili vya taa+ nao wamesimama mbele za Bwana wa dunia.+
3 Na kuna mizeituni miwili kando yake,+ mmoja upande wa kuume wa bakuli na mwingine upande wake wa kushoto.”
4 Hao wanafananishwa na ile mizeituni miwili+ na vile vinara viwili vya taa+ nao wamesimama mbele za Bwana wa dunia.+