Zekaria 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo akaniambia: “Unaona nini?”+ Basi nikasema: “Nimeona, na tazama! kuna kinara cha taa, chote ni cha dhahabu,+ na bakuli liko juu yake. Na taa zake saba ziko juu yake, ndiyo, saba;+ na taa zilizo juu yake zina mirija saba.
2 Ndipo akaniambia: “Unaona nini?”+ Basi nikasema: “Nimeona, na tazama! kuna kinara cha taa, chote ni cha dhahabu,+ na bakuli liko juu yake. Na taa zake saba ziko juu yake, ndiyo, saba;+ na taa zilizo juu yake zina mirija saba.