Mwanzo 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini katika kizazi cha nne watarudi hapa,+ kwa sababu kosa la Waamori halijawa kamili bado.”+ Mathayo 23:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Hivyo, basi, kijazeni kipimo+ cha mababu zenu. 1 Wathesalonike 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 wanapojaribu kutuzuia+ tusiseme na watu wa mataifa ili hawa waokolewe,+ matokeo yakiwa kwamba sikuzote wao hukijaza kabisa kipimo+ cha dhambi zao. Lakini ghadhabu yake mwishowe imekuja juu yao.+
16 wanapojaribu kutuzuia+ tusiseme na watu wa mataifa ili hawa waokolewe,+ matokeo yakiwa kwamba sikuzote wao hukijaza kabisa kipimo+ cha dhambi zao. Lakini ghadhabu yake mwishowe imekuja juu yao.+