12Na katika siku hiyo+ hakika wewe utasema: “Nitakushukuru, Ee Yehova, kwa maana ingawa ulinikasirikia, hasira yako ilirudi nyuma mwishowe,+ nawe ukanifariji.+
19 Je, bado kuna mbegu katika shimo la nafaka?+ Na kufikia sasa, mzabibu na mtini na mkomamanga na mzeituni—je, umezaa? Kuanzia leo hii nitatoa baraka.’ ”+