12 Na katika mwezi wa tano, siku ya kumi ya mwezi huo, yaani, katika mwaka wa kumi na tisa wa Mfalme Nebukadreza,+ mfalme wa Babiloni, Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi, aliyekuwa akisimama mbele ya mfalme wa Babiloni, aliingia ndani ya Yerusalemu.
5 “Waambie watu wote wa nchi na makuhani, ‘Mlipofunga+ na kuomboleza katika mwezi wa 5 na mwezi wa 7,+ mkafanya hivyo kwa miaka 70,+ je, kweli mlifunga kwa ajili yangu mimi?+