Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Ole wao wachungaji wanaowaangamiza na kuwatawanya kondoo wa malisho yangu!”+ asema Yehova.

  • Ezekieli 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, toa unabii kuwahusu manabii wa Israeli wanaotoa unabii,+ nawe utawaambia wale wanaotoa unabii kutoka moyoni mwao wenyewe,+ ‘Sikieni neno la Yehova.+

  • Mathayo 23:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Ole wenu ninyi, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! kwa sababu mnawafungia+ watu ufalme wa mbinguni; kwa maana ninyi+ wenyewe hamwingii, wala hamwaruhusu wale wanaoenda huko waingie.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki