2 “Mwana wa binadamu, toa unabii kuwahusu manabii wa Israeli wanaotoa unabii,+ nawe utawaambia wale wanaotoa unabii kutoka moyoni mwao wenyewe,+ ‘Sikieni neno la Yehova.+
13 “Ole wenu ninyi, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! kwa sababu mnawafungia+ watu ufalme wa mbinguni; kwa maana ninyi+ wenyewe hamwingii, wala hamwaruhusu wale wanaoenda huko waingie.