Ezekieli 11:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nao utukufu wa Yehova+ ukapaa kutoka juu katikati ya jiji na kuanza kusimama juu ya mlima+ ulio upande wa mashariki wa jiji hilo.+ Matendo 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo wakarudi+ Yerusalemu kutoka katika mlima unaoitwa Mlima wa Mizeituni, ulio karibu na Yerusalemu, ukiwa ni umbali wa safari ya siku ya sabato.+
23 Nao utukufu wa Yehova+ ukapaa kutoka juu katikati ya jiji na kuanza kusimama juu ya mlima+ ulio upande wa mashariki wa jiji hilo.+
12 Ndipo wakarudi+ Yerusalemu kutoka katika mlima unaoitwa Mlima wa Mizeituni, ulio karibu na Yerusalemu, ukiwa ni umbali wa safari ya siku ya sabato.+