3 Nao utukufu wa Mungu wa Israeli,+ uliondolewa juu ya makerubi+ ambao ulikuwa juu yao kwenye mlango wa nyumba hiyo,+ naye akaanza kumwita yule mwanamume aliyevaa kitani,+ ambaye alikuwa na kidau cha wino kiunoni.
4 Na utukufu wa Yehova+ ukainuka juu kutoka kwa makerubi mpaka kwenye mlango wa nyumba, nayo nyumba hiyo ikajaa wingu+ hatua kwa hatua, na ua wenyewe ulikuwa umejaa wangavu wa utukufu wa Yehova.