12 Naye hakika atainua ishara kwa ajili ya mataifa na kukusanya watu wa Israeli waliotawanywa;+ na watu wa Yuda waliotawanywa atawakusanya pamoja kutoka miisho minne ya dunia.+
16 Na kutakuwa na njia kuu+ kutoka Ashuru kwa ajili ya mabaki+ ya watu wake watakaobaki,+ kama ilivyokuwapo njia kwa ajili ya Israeli siku ile alipokuwa akiondoka katika nchi ya Misri.