Marko 13:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kwa hiyo endeleeni kukesha,+ kwa maana hamjui bwana wa nyumba anakuja wakati gani, kama ni wakati wa jioni au katikati ya usiku au anapowika jogoo au asubuhi na mapema;+ Luka 12:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Ninyi pia, endeleeni kuwa tayari, kwa sababu Mwana wa binadamu atakuja katika saa msiyoitazamia.”+
35 Kwa hiyo endeleeni kukesha,+ kwa maana hamjui bwana wa nyumba anakuja wakati gani, kama ni wakati wa jioni au katikati ya usiku au anapowika jogoo au asubuhi na mapema;+
40 Ninyi pia, endeleeni kuwa tayari, kwa sababu Mwana wa binadamu atakuja katika saa msiyoitazamia.”+