Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Kwa hiyo ninyi pia iweni tayari,+ kwa sababu Mwana wa binadamu atakuja katika saa msiyofikiria.

  • Mathayo 25:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Kwa hiyo, endeleeni kukesha+ kwa sababu hamwijui ile siku wala saa.+

  • Marko 13:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 nanyi mtachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu.+ Lakini yule ambaye atavumilia mpaka mwisho+ ndiye atakayeokolewa.+

  • 2 Petro 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 mkingojea+ na kuweka karibu akilini kuwapo kwa siku ya Yehova,+ ambayo kupitia hiyo mbingu zikiwa zimewaka moto zitayeyushwa+ na vitu vya msingi vikiwa moto sana vitayeyuka!

  • Ufunuo 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo, endelea kukazia akilini jinsi ulivyopokea+ na jinsi ulivyosikia, nawe uendelee kulishika,+ na utubu.+ Hakika usipoamka,+ nitakuja kama mwizi,+ nawe hutajua hata kidogo saa nitakayokuja juu yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki