Danieli 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Mwenye furaha+ ni yule anayeendelea kutarajia na anayefika kwenye zile siku 1,335! 2 Timotheo 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nimepigana pigano zuri,+ nimekimbia mwendo mpaka mwisho,+ nimeishika imani.+ Waebrania 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 lakini Kristo alikuwa mwaminifu akiwa Mwana+ juu ya nyumba yake Huyo. Sisi ni nyumba yake Huyo,+ ikiwa tunashikilia sana uhuru wetu wa kusema na kujisifu kwetu juu ya tumaini, imara mpaka mwisho.+
6 lakini Kristo alikuwa mwaminifu akiwa Mwana+ juu ya nyumba yake Huyo. Sisi ni nyumba yake Huyo,+ ikiwa tunashikilia sana uhuru wetu wa kusema na kujisifu kwetu juu ya tumaini, imara mpaka mwisho.+