Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 ndipo walipomwambia: “Tafadhali sema Shibolethi.”+ Naye alisema: “Sibolethi,” kwa kuwa hakuweza kutamka neno hilo kwa usahihi. Nao walimshika na kumuua kwenye vivuko vya Yordani. Basi wakati huo wakaanguka watu 42,000 kutoka katika Efraimu.+

  • Luka 22:59
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 59 Na baada ya karibu muda wa saa moja kupita mtu mwingine akaanza kusisitiza kwa nguvu: “Kwa hakika mtu huyu pia alikuwa pamoja naye; kwa maana, kwa kweli, yeye ni Mgalilaya!”+

  • Yohana 18:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Mmoja wa watumwa wa kuhani mkuu, akiwa ni jamaa ya mtu ambaye Petro alikata sikio lake,+ akasema: “Mimi nilikuona katika bustani pamoja naye, sivyo?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki