Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 11:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mtu ambaye amepungukiwa moyoni amemdharau mwenzake,+ lakini mtu mwenye utambuzi mwingi hukaa kimya.+

  • Isaya 53:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Alikazwa sana,+ naye alijiachilia ateswe;+ ingawa hivyo hakufungua kinywa chake. Alikuwa akiletwa kama kondoo machinjioni;+ na kama kondoo-jike ambaye amekuwa bubu mbele ya wakataji-manyoya wake, yeye pia hakufungua kinywa chake.+

  • Mathayo 26:63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 Lakini Yesu akaendelea kukaa kimya.+ Kwa hiyo kuhani mkuu akamwambia: “Kwa Mungu aliye hai ninakuweka chini ya kiapo+ utuambie kama wewe ndiye Kristo+ Mwana wa Mungu!”

  • Yohana 19:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 naye akaingia ndani ya jumba la gavana tena na kumwambia Yesu: “Wewe ni mtu wa kutoka wapi?” Lakini Yesu hakumjibu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki