Marko 15:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Acheni Kristo Mfalme wa Israeli ashuke sasa kutoka kwenye mti wa mateso, ili tupate kuona na kuamini.”+ Hata wale waliotundikwa mtini pamoja naye walikuwa wakimshutumu.+ Luka 23:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Lakini mmoja wa wale watenda-maovu waliotundikwa akaanza kumwambia kwa maneno ya matusi:+ “Wewe ndiye Kristo, sivyo? Jiokoe mwenyewe na sisi.”
32 Acheni Kristo Mfalme wa Israeli ashuke sasa kutoka kwenye mti wa mateso, ili tupate kuona na kuamini.”+ Hata wale waliotundikwa mtini pamoja naye walikuwa wakimshutumu.+
39 Lakini mmoja wa wale watenda-maovu waliotundikwa akaanza kumwambia kwa maneno ya matusi:+ “Wewe ndiye Kristo, sivyo? Jiokoe mwenyewe na sisi.”