Mathayo 26:68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 wakisema: “Tutolee unabii, wewe Kristo.+ Ni nani aliyekupiga?”+ Mathayo 27:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Vivyo hivyo hata wanyang’anyi waliotundikwa mtini pamoja naye wakaanza kumshutumu.+ Marko 15:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Acheni Kristo Mfalme wa Israeli ashuke sasa kutoka kwenye mti wa mateso, ili tupate kuona na kuamini.”+ Hata wale waliotundikwa mtini pamoja naye walikuwa wakimshutumu.+
32 Acheni Kristo Mfalme wa Israeli ashuke sasa kutoka kwenye mti wa mateso, ili tupate kuona na kuamini.”+ Hata wale waliotundikwa mtini pamoja naye walikuwa wakimshutumu.+