Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 21:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 maiti yake isibaki usiku kucha juu ya mti;+ bali kwa vyovyote utamzika siku hiyo, kwa sababu mtu aliyetundikwa ni kitu kilicholaaniwa na Mungu;+ nawe usiitie unajisi nchi yako, ambayo Yehova Mungu wako anakupa iwe urithi.+

  • Marko 15:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Yosefu wa Arimathea, mshiriki wa Baraza mwenye kusifika, ambaye pia alikuwa akiungojea ufalme wa Mungu, akaja.+ Akajipa moyo kuingia mbele ya Pilato na kuomba apewe mwili+ wa Yesu.

  • Luka 23:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 mtu huyu alimwendea Pilato na kuomba apewe mwili wa Yesu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki