Luka 6:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Kwa upande mwingine, yule anayesikia na hatendi,+ anafanana na mtu aliyejenga nyumba juu ya udongo bila msingi. Mto uliipiga kwa nguvu, na mara ikaporomoka, na uharibifu+ wa nyumba hiyo ukawa mkubwa.”+ Yakobo 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana ikiwa yeyote ni msikiaji wa neno, na si mtendaji,+ huyo ni kama mtu anayeutazama uso wake wa asili katika kioo.
49 Kwa upande mwingine, yule anayesikia na hatendi,+ anafanana na mtu aliyejenga nyumba juu ya udongo bila msingi. Mto uliipiga kwa nguvu, na mara ikaporomoka, na uharibifu+ wa nyumba hiyo ukawa mkubwa.”+
23 Kwa maana ikiwa yeyote ni msikiaji wa neno, na si mtendaji,+ huyo ni kama mtu anayeutazama uso wake wa asili katika kioo.