23 Ndipo akaenda akizunguka+ katika Galilaya+ yote, akifundisha katika masinagogi+ yao na kuhubiri habari njema ya ufalme na kuponya kila namna ya ugonjwa+ na kila namna ya udhaifu katikati ya watu.
11 Lakini umati ulipojua, ukamfuata. Naye akawapokea kwa fadhili na kuanza kuwaambia juu ya ufalme wa Mungu,+ naye akawaponya wale wanaohitaji kuponywa.+