8 “Basi, ninawaambia ninyi, Kila mtu anayekiri+ kuwa pamoja nami mbele ya wanadamu, Mwana wa binadamu atakiri pia kuwa pamoja naye mbele ya malaika za Mungu.+
9 Kwa maana ukitangaza waziwazi lile ‘neno lililo katika kinywa chako mwenyewe,’+ kwamba Yesu ni Bwana,+ na kuonyesha imani moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu,+ utaokolewa.+
5 Yeye atakayeshinda+ atapambwa hivyo mavazi meupe ya nje;+ nami sitalifuta kwa vyovyote jina lake kutoka katika kitabu cha uzima,+ bali nitalikiri jina lake mbele za Baba+ yangu na mbele ya malaika+ zake.