Mwanzo 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+ Mathayo 27:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Pia, wakabandika juu ya kichwa chake shtaka juu yake, kwa kuandika: “Huyu ni Yesu Mfalme wa Wayahudi.”+
10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+
37 Pia, wakabandika juu ya kichwa chake shtaka juu yake, kwa kuandika: “Huyu ni Yesu Mfalme wa Wayahudi.”+