Mathayo 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na yule aliyepandwa mahali penye miamba, huyo ndiye anayelisikia neno na kulipokea mara moja kwa shangwe.+ Mathayo 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini hana mzizi ndani yake bali huendelea kwa wakati fulani, na dhiki au mateso vikiisha kutokea kwa sababu ya lile neno yeye hukwazika mara moja.+ Marko 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini jua lilipochomoza, zikaungua, na kwa sababu hazikuwa na mzizi zikanyauka.+
20 Na yule aliyepandwa mahali penye miamba, huyo ndiye anayelisikia neno na kulipokea mara moja kwa shangwe.+
21 Lakini hana mzizi ndani yake bali huendelea kwa wakati fulani, na dhiki au mateso vikiisha kutokea kwa sababu ya lile neno yeye hukwazika mara moja.+