Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 58:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ingawa hivyo siku baada ya siku waliendelea kunitafuta mimi, nao wakawa wakionyesha kupendezwa kuzijua njia zangu,+ kama taifa lililoendeleza uadilifu na ambalo halikuwa limeiacha haki ya Mungu wao,+ kwa kuwa waliendelea kuniomba hukumu za uadilifu, wakimkaribia Mungu ambaye walipendezwa naye,+

  • Ezekieli 33:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nao wataingia ndani kwako, kama wanavyoingia watu, na kuketi mbele yako kama watu wangu;+ nao hakika watayasikia maneno yako lakini hawatayatenda,+ kwa maana wanaonyesha tamaa zenye uchu kwa kinywa chao nao moyo wao unafuatilia pato lao lisilo la haki.+

  • Yohana 5:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Mtu huyo alikuwa taa yenye kuwaka na yenye kung’aa, nanyi kwa wakati mfupi mlikuwa na nia ya kushangilia sana katika nuru yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki