Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo Yerusalemu na Yudea yote na nchi yote kandokando ya Yordani zikamwendea,

  • Mathayo 13:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na yule aliyepandwa mahali penye miamba, huyo ndiye anayelisikia neno na kulipokea mara moja kwa shangwe.+

  • Marko 6:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana Herode alikuwa akimwogopa+ Yohana, na alimjua kuwa mtu mwadilifu na mtakatifu;+ naye alikuwa akimlinda. Na baada ya kumsikia+ akawa hajui kabisa la kufanya, lakini aliendelea kumsikia kwa furaha.

  • 2 Petro 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hiyo tuna neno la kinabii+ likiwa limefanywa hakika zaidi;+ nanyi mnafanya vema kulikazia uangalifu kama vile taa+ inayoangaza mahali penye giza, mpaka siku ipambazuke na nyota ya mchana+ ichomoze, katika mioyo yenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki