Zaburi 37:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwovu anampangia hila mwadilifu,+Naye anamsagia meno yake.+ Methali 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kinywa cha mwadilifu ni chemchemi ya uzima;+ lakini kinywa cha waovu, hufunika jeuri.+