5Tafadhali, acha nimwimbie mpenzi wangu wimbo wa mpenzi wangu kuhusu shamba lake la mizabibu.+ Palikuwa na shamba la mizabibu ambalo mpenzi wangu alikuwa nalo kando ya kilima chenye kuzaa sana.
33 “Sikilizeni mfano mwingine: Kulikuwa na mtu, mwenye nyumba,+ aliyepanda shamba la mizabibu, akaweka ua kulizunguka, akachimba shinikizo la divai ndani yake, akasimamisha mnara,+ akalikodisha kwa wakulima, kisha akasafiri kwenda ng’ambo.+