2 na kuwaambia: “Nendeni mkaingie katika kijiji mnachokiona mbele yenu, na mara tu mtakapoingia ndani mtamkuta mwana-punda akiwa amefungwa, ambaye hakuna mwanadamu yeyote amepata kuketi juu yake; mfungueni mkamlete.+
30 akisema: “Nendeni mkaingie katika kijiji mnachokiona mbele yenu, na ndani yake baada ya kuingia mtamkuta mwana-punda akiwa amefungwa, ambaye hakuna yeyote kati ya wanadamu ambaye amewahi kuketi juu yake. Mfungueni mkamlete.+