Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 21:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Hata hivyo, wakulima wakawachukua watumwa wake, wakampiga mmoja sana, mwingine wakamuua, mwingine wakampiga kwa mawe.+

  • Mathayo 23:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 “Yerusalemu, Yerusalemu, muuaji wa manabii+ na ambaye huwapiga kwa mawe+ wale waliotumwa kwake,+​—⁠ni mara ngapi nilitaka kuwakusanya watoto wako, kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mabawa yake!+ Lakini hamkutaka.+

  • 1 Wathesalonike 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 waliomuua hata Bwana Yesu+ na manabii+ na kututesa sisi.+ Zaidi ya hayo, wao hawampendezi Mungu, bali wako kinyume cha faida za wanadamu wote,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki