Mathayo 21:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Hata hivyo, wakulima wakawachukua watumwa wake, wakampiga mmoja sana, mwingine wakamuua, mwingine wakampiga kwa mawe.+ Mathayo 23:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Yerusalemu, Yerusalemu, muuaji wa manabii+ na ambaye huwapiga kwa mawe+ wale waliotumwa kwake,+—ni mara ngapi nilitaka kuwakusanya watoto wako, kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mabawa yake!+ Lakini hamkutaka.+ 1 Wathesalonike 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 waliomuua hata Bwana Yesu+ na manabii+ na kututesa sisi.+ Zaidi ya hayo, wao hawampendezi Mungu, bali wako kinyume cha faida za wanadamu wote,
35 Hata hivyo, wakulima wakawachukua watumwa wake, wakampiga mmoja sana, mwingine wakamuua, mwingine wakampiga kwa mawe.+
37 “Yerusalemu, Yerusalemu, muuaji wa manabii+ na ambaye huwapiga kwa mawe+ wale waliotumwa kwake,+—ni mara ngapi nilitaka kuwakusanya watoto wako, kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mabawa yake!+ Lakini hamkutaka.+
15 waliomuua hata Bwana Yesu+ na manabii+ na kututesa sisi.+ Zaidi ya hayo, wao hawampendezi Mungu, bali wako kinyume cha faida za wanadamu wote,