26 “Hata hivyo, wakakosa kutii,+ wakakuasi+ na kuzidi kutupa sheria yako nyuma ya migongo yao,+ wakawaua manabii wako mwenyewe,+ waliotoa ushahidi juu yao ili kuwarudisha kwako;+ nao wakaendelea kutenda matendo ya ukosefu mkubwa wa heshima.+
10 Lakini majira yake yalipofika akatuma mtumwa+ kwa wakulima,+ ili wampe sehemu ya matunda ya shamba la mizabibu.+ Hata hivyo, wakulima hao wakamfukuza akiwa mikono mitupu,+ baada ya kumpiga sana.